QUEEZPICK

Why do we provide free sports betting tips? Since ever, offering sports betting tips and tricks for free on football is the main mission of queezpick . With the ambition to help you with your free football betting predictions, be it on football, our professional experts and tipsters analyse every day dozens of competitions, bets, players and teams for you to optimize your chances of winning bets. Our course of action is clear, win together. How do our experts establish these tips? Considered as a reliable sporting betting tips site by the whole of its community, queezpick relies on its numerous sports betting specialists and tipsters working daily for the group. To find the best winning bets and offer the best odds, our tipsters have a technique based on statistics, probabilities, history and many other complementary elements around sports news. How to predict well? • Favour pre-match bets that will not be altered by the events of the match • Vary the types of bets so as not to limit the chances of winning • Diversify the sports on which we bet • Do not favour without reason the small odds • Analyse sports statistics To bet well, several principles are elementary. Already, you must be limited to pre-match bets. Safer and less likely to alter by the adrenaline of the moment, they will increase your chances of winning for sure. Therefore, queezpick focuses on such bets. Your winnings will then increase even more if you follow our football betting tips . Then it is necessary that you open your horizons. Sometimes limiting yourself to a single competition can lock you into a certain routine, always dangerous in the context of the bet. So, take advantage of all our predictions to vary the bets in sports betting, it is important. Finally, do not underestimate the big odds. Often overlooked because considered riskier, bets on pretty odds are sometimes more likely to pass than others on proposals at 1.50. If our betting specialists offer you one this is not a coincidence, everything has been studied in depth.

Bet with our prediction

Bet with our prediction
Welcome

Pages

Wednesday, August 29, 2018

Welcome to the world of GAMBLING

Watu wengi katika ulimwengu wa GAMBLING wanajikuta wakipoteza kiasi kikubwa cha pesa bila hata ya kujitambua.Ni kutokana na kutokujua a kutambua misingi kadhaa ya kushiriki katika Mchezo huu LEO NAOMBA NIWAJULISHE WADAU WA MCHEZO JINSI AU NAMNA YA KUSHIRIKI KIKAMILIFU NA KUFANIKIWA KUSHINDA KWA KIAS KIKUBWA. KWA KUZINGATIA MAMBO HAYA #8 ,UTAWEZA KUFANIKIWA KUTENGENEZA FAIDA KUBWA KATIKA MCHEZO HUU. #1 . UFANYE UWE MCHEZO,KISIWE CHANZO CHA MAPATO. Watu wengi hufanya mchezo wa football betting kama ni kituo cha kujipatia mapato kwa ajili ya kukidhi haya mbalimbali za kimaisha kama vile 1.kulipa kodi ya nyumba, 2.Kupata ada ya watoto, 3.Kupata fedha ya kununua mali fulani i.e Pikipiki, Simu. 4. Kupata fedha ya kulipa Deni. ...na mengineyo! Hili ni kosa kubwa sana. Unapofanya huu mchezo kama ni chanzo cha pesa kw ajili ya suala fulani, linakupotezea nafasi ya kuweza kufanya machaguzi ya Odds yaliyo sahihi.Watu wenye utaratibu huu ,huwa wanachagua Odds ambazo zitawaletea zao kubwa la pesa na kusahau kuwa si michezo yote katika orodha inayoweza kukupa tokeo chanya. (Kumbuka, Mahesabu ya kina hufanywa na wenye hizi Betting Companies kuhakikisha hakuna mtu anaweza kupat kiasi kikubwa cha pesa kama matokeo y betting(Mkeka) wake). #2 . ZITAMBUE LIGI VIZURI. Watu wengi hujihisisha katika huu mchezo hata bila ya kutambia mienendo (Trend) ya ligi kuu mbalimbali barani Ulaya.Kutokana na Betting Companies kuwa na aina mbali mbali za "kubet", Pi kuna baadhi ya ligi zina "facilatate successful betting" kutokana na aina ya betting. Kwa mfano:- Ligi ya Uingereza(EPL) , inafaa sana kutumika katika kubeti katika category ya "NORMAL" kwa asilimia 80%.Hii ni kutokana na ligi kuwa na wababe wanaotabirika , Baadhi ya timu kuwa out-of-form kwa muda mrefu, Mjeruhi ya mara kwa mara. Ligi ya Spain(LA LIGA), inafaa sana kutumika katika "NORMAL" kwa silim 70% na "HANDCAP" kwa silimia 30%( timu za R.madrid,Barca,A.madrid Ligi ya Ufaransa(LIGUE 1).Kutokana n hii ligi kuto kuwa na wababe wa kueleweka , hapa ni mahali salama sana kuitumia "HANDCAP" 80% na.Pia ni li iliyo na idadi ndogo sana ya magoli hivy basi "FOURTYFIVE" prediction inafaa.Hii ni kutokana na matokeo men ya ligi hii kuwa na tofauti ya goli moja. Ligi kuu ya Itali (Serie A), hii ligi haina tofauti sana na ligi kuu ya Ufaransa.Baadhi ya mechi huwa na tofauti ya goli moja, na mara nyingi huw na matokeo ya suluhu katika dakika 45 z kwanza. Hivyo "HANDCAP" ina asilim 60% na "FOURTYFIVE" ina asilimia 40%.(Tahadhari: Hii ligi inahitaji uchambuzi wa kina katika mechi zake kabla ya kuweka bet,) #3 . BOBEA KWENYE LIGI CHACHE TU. Si mbaya sana ukichagua baadhi ya timu zenye nguvu kutoka ligi nyingine, bali umuhimu wa kubobea katika ligi chache ni veyma zaidi.Hii itakufanya uwe mwenye uelewa na utambuzi wa kutosh na mwenendo wa hizo ligi chache. Pia hi itakuwezesha kuweza kufanya maamuzi sahihi yaliyo na ufahamu na uelewa yakinifu., #4 . MARA NYINGI NI VYEMA KUFUATA HISIA. Umeshawahi kutazama orodha ya michezo/mechi za siku husika kuanzia ya kwanza hadi ya mwisho, na katika akili yako kuna hisia/vochochezi ambavyo vina kuambia kwamba "huyu anashinda" au "huyu anafungwa" au "h mechi suluhu"? Basi kwa taarifa yako, hizo hisia-za-mwazo(PRESCIENCE) husadikika kuw sahihi kwa asilimia 80%. Hii ni kwa upande wa wale wanao-Bet katika category ya "NORMAL". #5 . EPUKA USHABIKI. Kuna nyakati ambazo inakuhitaji uchague mechi ambayo timu uipendayo inacheza.Hiki kimekuwa kipindi kigumu sana kwa watu wengi.Hupenda kuchagu timu zao kuwa zitashinda hata kama ukweli ni kwamba zinauwezekano mkubwa sana wa kupoteza mchezo. Au kuwekea timu fulani ishindwe kwa mategemeo timu yake(anayoishabikia) iendelee kuongoza ligi. Ukiona umejawa na hisia za ushabiki na huwezi shindana nazo, basi ni bora kuacha kabisa kuchagua mechi hizo. #6 . FANYA UCHAMBUZI YAKINIFU Hili ni pamoja na kuzingatia aina ya mchezo unaocheza. Mfano -NORMAL; katika hii category unashauriwa kuchagua mechi zenye tim dhaifu na imara.Hii inaleta uwezekano wa kutokea kwa matokeo yaliyo-tabiriwa. -HANDCAP; hapa unashauriwa kuchag mechi zenye timu ambazo zenye uwezo unaokaribia na kulingana,kwa kuwa tim moja hupewa goli la kufikirika ambayo mara nyingi huwa ni ile dhaifu basi ni vyema kuchagua matokeo ya Suluhu huk ukiamini kuwa ile timu yenye nguvu zaidi huenda ikashinda kwa tofauti isiyozidi goli 1.Yaani 2-1 au 1-0 au hata 3-2. -FOURTYFIVE(45); hapa sasa ni mahal ambapo mechi za machaguo ya suluhu kuzingatiwa.Kutokana na mechi kuanza kwa suluhu ya bila kufungana,kuna uwezekano wa asilimia 80% ya hizo mechi kumaliza dakika 45 za kwanza bil kufungana ili uweze kuchagua suluhi ya dakika 45, inashauriwa kuchagua mechi ambazo zina upinzani mkubwa sana bain yao au mechi zenye timu zilizodhaifu sana. #7 . JIWEKEE KIASI KATIKA KU-BE Huu mchezo unaathiri sana tabia-ya binadamu (Addictive).Kuna kipindi unasikia hamu ya kubet kila mara hata pale unapoona mkeka(Betting Form) umeharibika, ili tu uweze kurudisha kil kiasi cha pesa ulicholiwa.Hii hutokea kwa sababu ya kutojiwekea "kikomo". Weka kikomo ,mfano Tsh 5000/= tu itumike ndani ya saa 72.Itakufanya uwe na kikomo katika mchezo na kukusaidia kutopoteza kiasi kikubwa cha pesa kutoka mfukoni mwako. #8 . FUATILIA UTABIRI WA MITANDAONI. Ni vyema kufuatilia utabili wa mitandaoni kwa sababu huwa na takwim sinazoonyesha historia, Perfomance, na matarajio ya mechi husika. Hakikisha una-zingatia mechi tano(5) zilizopita. -Head-to-head ya timu hizo. -Perfomance ya timu katika dakika 45 za kwanza -Majeruhi walio n'je ya kikosi kikuu. -Usajili waliofanya -zingatia idadi ya magoli ambayo timu hizo zinafunga(score) na kufungwa(concede). -zingatia idadi ya mechi ambazo timu imeshinda na kupoteza. -zingatia msimamo/stance ya timu katik mechi za nyumbani na ugenini.

0 comments:

Post a Comment